Join our Telegram channel for instant songs and free Downloads Subscribe Now!

KINGBET IMEKABIDHI SIMU KWA WASHINDI WAKE

Muziki Huru

KingBet imekabidhi zawadi ya simu janja aina ya Samsung A17 kwa washindi wa wiki ya kwanza ya kampeni kubwa inayoitwa BUTUA KWA BUKU, inayolenga kurudisha shukrani kwa wateja wapya na wa zamani kwa kuwapa nafasi ya kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo BAJAJI, TV, FRIJI na nyingine nyingi kwa kubeti kwa dau la BUKU tuu.

Kampeni hiyo imetangazwa kudumu kwa miezi miwili, ambapo itatamatika mwishoni mwa mwezi wa tano. Lengo lake ni kuwapa fursa Watanzania wote wanaobashiri kupitia KingBet kushinda zawadi kubwa.

Vigezo vya kushinda ni rahisi sana:
Jisajili au ingia kwenye akaunti yako ya www.kingbet.co.tz kisha suka mkeka wako kwa BUKU au zaidi, halafu subiri simu ya ushindi!

Kwa maelezo zaidi, wasiliana na huduma kwa wateja wa KingBet kupitia:

Simu: 0222226666

إرسال تعليق

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.