Join our Telegram channel for instant songs and free Downloads Subscribe Now!

ZAWADI YA PILI BUTUA NA AFCON IMEENDA KIGAMBONI

Muziki Huru

KingBet inaendelea kuthibitisha kuwa ushindi ni halisi na zawadi zinatoka, baada ya Abdon Mahimbo, mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam, kuibuka mshindi wa pili katika kampeni ya Butua na AFCON.
Abdon Mahimbo amejishindia simu ya Samsung A07, router ya intaneti, pamoja na TSh 200,000 taslimu ushindi unaoonesha wazi kuwa kampeni za KingBet si maneno bali ni matokeo yanayoonekana.

Kampeni ya Butua na AFCON iliandaliwa sambamba na mashindano ya AFCON, ikiwa na lengo la kuwazawadia wateja waaminifu wa KingBet kwa zawadi zenye thamani na pesa taslimu

KingBet inaendelea kumwaga mizawadi kwa wateja wake kila wiki na sasa kampeni yao inaelekea wiki ya tatu na zamu zawadi itakua ni iphone 17 mbili kitu kwenye Box.

Kushinda ni SIMPO sana 👇 

1) Jisajili kupitia 👉 www.kingbet.co.tz 

2) Weka PESA kwenye account yako ya KingBet kupitia Airtel Money 

3) Tupia mikeka yako ya kila siku yenye angalau mechi moja ya AFCON 

Kwa msaada zaidi Tupigie 0222 226 666

Post a Comment

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.